Read more
Ni nyumba kupanga yenye sifa zifuatazo .
Bedroom mbili , moja ni master
Sebule jiko , store , hearter maji moto ipo , na choo cha public .
Nyumba ni nzuri na haijawahi kuishi mtu
Ninapatikana Arusha kwa morombo maeneo mizani ama , shule ya machwa
Maji ya bomba yapo
Pia umeme upo na luku yako
Parking ni kubwa na nafasi ya kutosha .
Bei ya kodi kwa mwezi ni shilingi za kitanzania 300000
Utalipia kwa awamu ya miezi mi 4
Mwezi mmoja kwa dalali ukipenda nyumba ,
Kwenda kuiona charge ni 10
Call 0719499889